28 Obali, Abimaeli, Seba,
Hadoramu, Uzali, Dikela,
Ofiri, Havila na Yobabu. Hao wote walikuwa wana wa Yokitani.
Yokisani alizaa Seba na Dedani. Wazao wa Dedani walikuwa Waashuri, Waletusi na Waleumi.
Malkia wa Seba aliposikia sifa za Solomono, kwa sababu ya jina la Yawe, alimwendea Solomono kwa kumujaribu kwa maulizo magumu.
Wakaaji wa miji ya Harani, Kane na Edeni na wachuuzi wa Asuria na Kilmadi walifanya biashara nawe.