26 Yokitani alikuwa baba ya Almodadi, Selefu, Hazarimaweti, Yera,
Eberi alikuwa na wana wawili: wa kwanza akamwita Pelegi kwa sababu wakati ule watu katika dunia waligawanyika na wa pili akamwita Yokitani.
Hadoramu, Uzali, Dikela,