Eberi alikuwa na wana wawili: mumoja wao aliitwa Pelegi, ni kusema “Matengano”, kwa maana wakati wake watu walikuwa wametawanyika katika dunia, na ndugu yake aliitwa Yokitani.
Kutokana na mutu mumoja, yeye aliumba watu wa mataifa yote kusudi waishi katika dunia yote. Aliwapangia nyakati na kukata mipaka ya inchi wanayopaswa kukaa ndani yake.