21 Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
Hao ndio wazao wa Hamu kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.
Wana wa Semu walikuwa Elamu, Asuri, Aripakisadi, Ludi na Aramu.
Kisha Noa kutimiza umri wa miaka mia tano, akazaa Semu na Hamu na Yafeti.
Wana wa Semu walikuwa: Elamu, Asuri, Arpakisadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Geteri na Meseki.
Lakini mutateketezwa, enyi Wakeni. Mutapelekwa mateka na Asuria mpaka wakati gani?
Mashua zitafika kutoka Kitimu, wataishambulia Asuria na Eberi, lakini nao vilevile wataangamia milele.