20 Hao ndio wazao wa Hamu kufuatana na makabila yao, luga zao, inchi zao na mataifa yao.
hata eneo la inchi yao likakuwa toka Sidona kuelekea upande wa kusini, kuendelea Gerari mpaka Gaza, na kuelekea upande wa mashariki liliendelea kwa Sodoma na Gomora, Adima na Seboimu mpaka Lasa.
Semu, mukubwa wa Yafeti, alikuwa baba ya Waebrania wote.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misiraimu, Puti na Kanana.