13 Misiraimu alikuwa babu ya Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanafutuhi,
Reseni unaokuwa kati ya Ninawe na muji mukubwa wa Kala.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misiraimu, Puti na Kanana.
Musonge mbele, enyi farasi; mushambulie, enyi magari ya vita. Mashujaa wasonge mbele: watu wa Etiopia na Puti wanaoshika ngao, watu wa Ludi, wafundi wa kutumia pinde.
Watu wote waliofungamana na Wamisri, ni kusema watu wa Etiopia, Puti, Ludi, Uarabu yote na Libya wataangamia pamoja nao.