12 Reseni unaokuwa kati ya Ninawe na muji mukubwa wa Kala.
Kutoka kule, Nimurodi alikwenda Asuria, akajenga miji ya Ninawe, Rehoboti-Iri, Kala na
Misiraimu alikuwa babu ya Waludi, Waanamu, Walehabi, Wanafutuhi,
Mesaki na Tubali ziko huko. Makaburi ya watu wake wote yanazizunguka. Wote waliuawa katika vita, bila kujua Mungu. Walipokuwa wangali wanaishi, walieneza vitisho vyao katika inchi ya wanaokuwa wazima.