7 Ikakuwa hivyo. Mungu akafanya anga, akatenga maji yanayokuwa juu ya anga na yale yanayokuwa chini ya anga lile.
Kisha Mungu akasema: “Inchi ioteshe mimea: mimea inayozaa mbegu, na miti inayozaa matunda yenye mbegu za aina yake.” Ikakuwa hivyo.
na iangae katika anga na kuangazia dunia.” Ikakuwa hivyo.
Mungu akasema: “Inchi itoe aina zote za viumbe vyenye uzima: nyama wa kufugwa, viumbe vinavyotambaa na nyama wa pori wa kila aina.” Ikakuwa hivyo.
Mungu akaliita anga “Mbingu”. Ikakuwa magaribi na kisha ikakuwa asubui, ndiyo siku ya pili.
Mungu akasema: “Maji yanayokuwa chini ya mbingu yakusanyike pahali pamoja, inchi kavu itokee.” Ikakuwa hivyo.
Anayafunga maji katika mawingu yakuwe mazito, nayo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
Umetokeza chemichemi katika mabonde, na vijito vyao vinapita kati ya vilima.
Aliumba mbingu kwa hekima. Wema wake unadumu milele.
Mumusifu enyi mbingu za juu, na maji yanayokuwa juu ya mbingu.
Kwa mukubwa wa waimbaji. Zaburi ya Daudi.
Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu; anga linaeleza kazi ya mikono yake.
Mawingu yakijaa maji, mvua inanyesha. Muti ukiangukia upande wa kusini au wa kaskazini, pale unapoangukia ndipo unapolala.
Nao wakashangaa, wakisema: “Huyu ni mutu gani, hata zoruba na ziwa vinamutii?”