Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mwanzo 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Mungu akasema: “Anga likuwe katikati ya maji, litenge maji sehemu mbili.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mwanzo 1:6
23 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mungu akasema: “Miangaza ikuwe katika anga, itenge muchana na usiku. Ikuwe vitambulisho kwa kuonyesha nyakati, siku na miaka,


Mungu akasema: “Maji yajae makundi ya viumbe vyenye uzima. Na ndege waruke katika anga.”


Kwa pumzi yake alisafisha anga; mukono wake ulitoboa nyoka mukubwa anayeruka.


Mungu analijaza wingu manyunyu mazito; mawingu yanasambaza umeme wake.


Unaweza kuzitandaza mbingu kama yeye hata zikuwe ngumu kama kioo cha shaba?


Umejifunika mwangaza kama kanzu, umekunjua mbingu kama hema;


Mumusifu enyi mbingu za juu, na maji yanayokuwa juu ya mbingu.


Mumusifu Mungu katika pahali pake patakatifu, mumusifu juu mbinguni kwenye uwezo wake!


Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu; anga linaeleza kazi ya mikono yake.


Mbingu ziliumbwa kwa neno la Yawe, na vyote vinavyokuwa ndani yake kwa pumzi ya kinywa chake.


Maana alisema, na ulimwengu ukakuwa; alitoa amri, nao ukajitokeza.


Mawingu yakijaa maji, mvua inanyesha. Muti ukiangukia upande wa kusini au wa kaskazini, pale unapoangukia ndipo unapolala.


Dunia iliumbwa na yule anayeikaa juu ya mbingu; kutoka huko wakaaji wa dunia ni kama mapanzi! Yeye ametandika mbingu kama pazia, na kuzikunjua kama hema la kuishi ndani yake.


Lakini Yawe ni Mungu wa kweli, Mungu Mwenye Uzima, mufalme wa milele. Akikasirika, dunia inatetemeka, mataifa hayawezi kuvumilia hasira yake.


Yawe ndiye aliyeumba dunia kwa nguvu zake, aliyeuimarisha ulimwengu kwa hekima yake, na kwa akili yake akazitandaza mbingu.


Ujumbe wa Yawe unaoelekea Israeli. Yawe aliyezitandaza mbingu, aliyeiweka misingi ya dunia na kumupa mwanadamu uzima anasema hivi:


Watu hawa wanasahau kwa makusudi kwamba tangia zamani Mungu alisema tu, na mbingu na dunia vikakuwa. Dunia iliumbwa toka katika maji na kwa njia ya maji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ