Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Muhubiri 9:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Afazali kusikiliza maneno matulivu ya mwenye hekima, kuliko kusikiliza kelele za mufalme katika kikao cha wapumbafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Muhubiri 9:17
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anayemwonya mwenzake kwa mwisho atasifiwa naye, kuliko yule anayemubembeleza kwa maneno matamu.


Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.


Afazali kusikia maonyo ya wenye hekima kuliko kusikiliza nyimbo za wapumbafu.


Hatalalamika wala hatapiga kelele, wala hatasema kwa sauti kubwa katika barabara.


Yeye hataregea wala kuchoka, mpaka atakapoimarisha sheria yangu katika dunia. Watu wa mbali wanangojea mafundisho yake.


Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ