Muhubiri 3:14 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200214 Ninajua kwamba jambo lolote Mungu analotenda linadumu milele. Hakuna kinachoweza kuongezwa wala kupunguzwa. Mungu amefanya mambo yakuwe hivyo kusudi wanadamu wamwogope yeye. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |