Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Muhubiri 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Hata anapopita katika njia, anakosa akili, anamwambia kila mutu kwamba yeye ni mupumbafu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Muhubiri 10:3
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mwenye akili anatenda kila kitu kwa kufikiri, lakini mupumbafu anatembeza upumbafu wake.


Mupumbafu hapendezwi na ufahamu; kitu cha maana kwake ni maoni yake tu.


Maneno ya mupumbafu yanaleta ugomvi; kila neno analosema linasababisha azabu.


Ukimutolea Mungu ahadi, usikawie kuitimiza. Mungu hapendezwi na wapumbafu. Timiza kile ulichoahidi.


Sasa, wapagani wanashangaa kuona ninyi hamushirikiani nao tena katika maisha ya ovyo ovyo; na kwa hiyo wanawasingizia ninyi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ