Mika 6:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Nimwendee Yawe na kitu gani, nipate kumwabudu Mungu anayekuwa juu? Nimwendee na sadaka za kuteketezwa kwa moto, nimutolee mwana-ngombe wa mwaka mumoja? အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Watu wanapokuja kumwabudu Yawe wakati wa sikukuu yoyote, wale walioingia kwa njia ya mulango wa kaskazini, watatoka kwa njia ya mulango wa kusini; na wale walioingia kwa mulango wa kusini, watatoka kwa njia ya mulango wa kaskazini. Mutu asirudi kwa njia ya mulango alioingilia, lakini atatoka kwa njia ya mulango unaokuwa mbele yake.