Mika 6:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Ninyi munafuata mufano mubaya wa mufalme Omuri na mufano mubaya wa jamaa ya mwana wake, Ahabu, na mumefuata mashauri yao. Kwa hiyo nitawaletea maangamizi, na kila mutu atawazarau. Watu watawachekelea kila pahali. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |