Mika 2:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Munawafukuza wake za watu wangu kutoka nyumba zao nzuri. Mumewaondolea watoto wao utukufu wangu milele. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Basi, sasa bwana wangu mufalme, usikie maneno ya mutumishi wako. Ikiwa Yawe ndiye aliyekuchochea ukuje kunishambulia, basi, apokee sadaka ambayo itamusukuma kubadilisha mawazo yake. Lakini ikiwa ni watu, basi, Yawe awalaani watu hao maana wamenifukuza kutoka urizi ambao Yawe aliotupa wakisema: ‘Kwenda uitumikie miungu mingine.’