Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mika 2:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Musimame! Muende! Hapa hakuna tena pahali pa kupumzika! Kwa ajili ya ukosefu wenu wa uaminifu, maangamizi makubwa yanawangojea!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mika 2:10
20 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

basi, nitawahamisha watu wangu, Waisraeli, kutoka inchi hii ambayo nimewapa; vilevile na nyumba hii ambayo niliyoitakasa kwa ajili ya jina langu, nitaitupilia mbali nami, na kuifanya kitu cha kuchekelewa na kuzarauliwa kati ya watu wa mataifa yote.


Wakati wa utawala wa Peka mufalme wa Israeli, Tigilati-Pileseri, mufalme wa Asuria, aliteka miji ya Iyoni, Abeli-Beti-Maka, Yanoa, Kadesi na Hazori, pamoja na inchi za Gileadi, Galilaya na Nafutali na kuwahamisha wakaaji wake kwenda Asuria.


Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mufalme wa Asuria aliuteka muji wa Samaria na kuwapeleka watu wa Israeli katika uhamisho mpaka Asuria. Wamoja kati yao akawaweka katika muji wa Hala, wengine karibu na muto Habori, muto Gozani na wengine katika miji ya Wamedi.


kwa sababu hiyo mimi nitawaongoa kutoka katika inchi hii ambayo nimewapa. Vielvile na nyumba hii ambayo nimeitakasa kwa ajili ya jina langu nitaitupilia mbali nami, na kuifanya kitu cha kuchekelewa na kuzarauliwa kati ya mataifa yote.”


Walimwanga damu ya wasiokuwa na kosa, damu ya watoto wao wanaume na wabinti ambao waliwatoa sadaka kwa sanamu za Wakanana, nayo inchi ikachafuliwa kwa uuaji huo.


Basi, nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia.”


Maana Yawe anasema hivi: Mara hii nitawatupa inje wakaaji wa inchi hii, nitawataabisha hata kusibaki mutu yeyote.


Inua macho, uangalie vilele vya vilima! Kuna nafasi ambapo hawajalala nawe? Uliwangoja wapenzi wako kando ya njia, kama mubedui anavyovizia watu katika jangwa. Umeichafua inchi kwa ukahaba wako mubaya sana.


Enyi wanawake, musikilize neno la Yawe! Mutege masikio musikie jambo analosema. Muwafundishe wabinti zenu kuomboleza, na kila mutu amufundishe jirani yake wimbo huu wa maziko:


Wewe mwanadamu! Waisraeli walipoishi katika inchi yao waliichafua kwa mienendo na matendo yao. Niliyaona matendo yao kuwa sawa na mwanamuke anayekuwa muchafu wakati wa ugonjwa wake wa mwezi.


Niliwasambaza kati ya mataifa, wakasambazwa katika inchi nyingine. Niliwaazibu kadiri ya tabia yao na matendo yao.


kwa sababu bado hamujaingia pahali pa kupumzikia na katika urizi Yawe, Mungu wenu, anaowapa.


mimi ninawatangazia leo hii kwamba mutaangamia. Hamutaishi kwa muda murefu katika inchi munayokwenda kurizi, ngambo ya muto Yordani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ