Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mika 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Vidonda vya Samaria haviwezi kupona, navyo vimeipata vilevile inchi ya Yuda; vimefikia kwenye mulango wa Yerusalema, pahali watu wangu wanapokaa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mika 1:9
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu watu watalia na kuomboleza kwenye milango ya muji; nao wataikaa ndani ya mavumbi katika ukiwa.


Katika mwaka wa kumi na ine wa utawala wa mufalme Hezekia, mufalme Saniharibu wa Asuria aliishambulia miji yote yenye kuta ya inchi ya Yuda na kuinyanganya.


Kisha mufalme wa Asuria alimutuma jemadari kutoka Lakisi na kundi kubwa kumwendea mufalme Hezekia. Jemadari yule alisimama karibu na mufereji wa birika linalokuwa upande wa juu katika barabara kubwa inayoelekea shamba la wafuaji wa nguo.


Kwa nini mateso yangu hayaishi? Mbona kidonda changu hakiponi nacho hakitaki kutunzwa? Kama vile kijito chenye kukaukakauka, kisivyoweza kutumainiwa, ndivyo wewe umekuwa kwangu!


Mupande Gileadi, enyi watu wa Misri, kwa kutafuta dawa. Mumetumia dawa nyingi bure; hakuna kitakachowaponyesha ninyi.


Wakaaji wa Maroti wanangojea musaada kwa hamu kubwa, lakini maangamizi yanakuja kutoka kwa Yawe karibu kabisa na mulango wa Yerusalema.


Kwa hiyo nami, nimeanza kuwaangusha chini, na kuwaangamiza kwa sababu ya zambi zenu.


Hakuna wa kutunza mapigo yako, vidonda vyako ni vya kifo. Wote wanaosikia habari zako wanashangilia. Maana ni nani aliyeponyoka kila mara uovu wako?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ