Mika 1:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kwa hiyo, anasema hivi: Muji wa Samaria nitaufanya kuwa mabomoko katika mbuga, shamba ambalo watu watapanda mizabibu. Mawe yaliyoujenga nitayatupa ndani ya bonde, na misingi yake nitaichimbuachimbua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |