Ee Yawe, umekataa Yuda kabisa? Moyo wako umechukizwa na Sayuni? Kwa nini umetupiga vibaya kama hivi, hata hatuwezi kupona tena? Tulitazamia kupata amani, lakini hakuna kitu kizuri. Tulitazamia kupona, lakini tumepatwa na vitisho.
Eli, akiwa na wasiwasi ndani ya moyo juu ya Sanduku la Mungu, alikuwa ameikaa kwenye kiti chake, pembeni ya barabara akiangalia. Yule mutu alipofika katika muji na kueleza habari hizo, muji muzima ulilia kwa sauti.