Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 9:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Achana na ujinga upate kuishi; fuata njia ya akili.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 9:6
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Wabinti za wafalme ni kati ya wanaokupokea, naye malkia amesimama kwa kuume kwako, amevaa mapambo ya zahabu safi kabisa ya Ofiri.


Anayekubali kufundishwa anaelekea kwenye uzima, lakini anayekataa kuonywa amepotoka.


Anayeandamana na wenye hekima anapata hekima, lakini anayejiunga na wapumbafu atapata hasara.


Sikia, mwana wangu, ukuwe na hekima; fikiri sana jinsi unavyoishi.


Nimekufundisha njia ya hekima, nimekuongoza katika njia ya usawa.


Anayenipata mimi amepata uzima, na upendeleo kutoka kwa Yawe.


Kwa musaada wangu mimi Hekima siku zako zitaongezwa; utaongezewa miaka mingi katika maisha yako.


kusudi mupate kufuata masharti yangu na kuyatii maagizo yangu; nanyi mutakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.


Mutumishi wangu Daudi atakuwa mufalme wao; watakuwa na muchungaji mumoja tu. Watayafuata maagizo yangu na kushika masharti yangu.


“Mufanye nguvu muingie kwa kupitia mulango unaokuwa mwembamba; maana ninawaambia ninyi hakika: watu wengi watajaribu kuingia lakini hawataweza.


Petro akazidi kusema maneno mengine ya kuwaonya na kuwatia moyo, akisema: “Mujiokoe toka kati ya kizazi hiki kipotovu!”


Kwa sababu hiyo Bwana anasema: “Mutoke kati yao, mujitenge nao. Musiguse kitu chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, nami nitawapokea.


Kisha nikasikia sauti ingine kutoka mbinguni ikisema: “Mutoke katika muji ule ninyi watu wangu, kusudi musishiriki zambi zake na kupatwa vilevile na mapigo yatakayoupata.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ