Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 9:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 “Kuja ukule chakula, na ukunywe divai niliyotengeneza.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 9:5
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa sababu yako ninakusifu katika kusanyiko kubwa la watu; nitatimiza ahadi zangu mbele ya wanaomwabudu.


Maana Yawe ni mufalme; yeye anatawala mataifa.


“Maji yaliyoibwa ni matamu sana; mukate unaokuliwa kwa siri ni muzuri sana.”


Amechinja nyama wa karamu, divai yake ameitayarisha, ametandika meza yake.


Ninaingia katika bustani yangu, dada yangu, muchumba wangu. Ninakusanya manemane na majani yenye harufu, ninakula sega langu la asali, ninakunywa divai yangu na maziwa yangu. Mukule, enyi warafiki, mukunywe; mukunywe sana, wapendwa wangu.


Musitumikie chakula kinachoharibika, lakini mutumikie chakula kinachodumu na kuleta uzima wa milele. Mwana wa Mutu atawapa ninyi chakula hiki, kwa sababu Mungu Baba ametoa uhakikisho juu yake.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ