Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 9:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Lakini mujinga hajui kwamba mule muna wafu, wageni wa mwanamuke yule wako chini katika kuzimu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 9:18
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Lakini ninyi hamujui wala hamufahamu! Ninyi munatembea katika giza la upotovu! Misingi yote ya haki katika dunia imetikiswa!


Maana wajinga wanajiua kwa kiburi chao, wapumbafu wanajiangamiza kwa kufanikiwa kwao.


Kumwogopa Yawe ni musingi wa maarifa, lakini wapumbafu wanazarau hekima na mafundisho.


Miguu yake inaelekea chini kwenye kifo, hatua zake zinaenda kuzimu.


Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.


Maana amewaangusha wanaume wengi; ni wengi sana wale aliowachinja.


Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni pahali pa kuteremukia katika mauti.


Watu hawa wanasahau kwa makusudi kwamba tangia zamani Mungu alisema tu, na mbingu na dunia vikakuwa. Dunia iliumbwa toka katika maji na kwa njia ya maji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ