17 “Maji yaliyoibwa ni matamu sana; mukate unaokuliwa kwa siri ni muzuri sana.”
Basi, mwanamuke alipoona kwamba muti ule ni muzuri kwa chakula, unavutia macho, na kwamba unafaa kwa kupata hekima, akachuma tunda lake, akakula, akamupa mume wake aliyekuwa pamoja naye, naye vilevile akakula.
Chakula kinachopatikana kwa udanganyifu ni kitamu, lakini nyuma kinakuwa kama muchanga ndani ya kinywa.
Mwenendo wa mwanamuke mwasherati ni hivi: yeye anakula, anajipanguza mudomo, na kusema: “Sijafanya kosa lolote!”
Kwa nini chemichemi zako zitawanywe mbali, na vijito vya maji katika barabara?
Chemichemi yako ibarikiwe, umufurahie muke uliyemwoa ukiwa kijana.
Kutokana na amri, zambi ilipata njia hata kuamusha kila namna ya tamaa ndani yangu. Kwa maana pasipo Sheria zambi ingekuwa kama mufu.
(Kwa maana ni haya kusema juu ya mambo watu hao wanayofanya kwa siri.)