14 Anaikaa kitako kwenye mulango wa nyumba yake, anaweka kiti chake pahali pa juu katika muji,
Uepushe njia yako mbali naye, wala usiukaribie mulango wa nyumba yake,
Juu kwenye vilima karibu na njia na katika masanganjia ndipo ilipojiweka.
na kuwaita watu wanaopita katika njia, watu wanaokwenda kwenye shuguli zao:
Amewatuma wajakazi wake katika muji waite watu kutoka kwenye vilele vya milima:
Kwa mwanzo wa kila barabara ulijijengea nafasi inayoinuka, ukautumia uzuri wako kwa kufanya uzinzi ukijitoa kwa kila mupita njia na kuongeza uzinzi wako.