Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 8:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Heri mutu anayenisikiliza, anayeikaa kila siku kwenye mulango wangu, anayekesha karibu na milango yangu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 8:34
17 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Heri kwa wake zako! Heri kwa hawa watumishi wako ambao wanakutumikia siku zote na kusikiliza hekima yako!


Jambo moja nimemwomba Yawe, ninatafuta hili tu: nikae ndani ya nyumba ya Yawe siku zote za maisha yangu, niuone uzuri wa Yawe, na kutafuta maongozi yake ndani ya hekalu lake.


Ee Mungu, umwangalie huyo ngao yetu, upendezwe na huyo uliyemuchagua.


Watu wa haki wanastawi kama mingazi; wanakomaa kama mierezi ya Lebanoni!


Kisha, watatwaa damu ya wale nyama na kuipakaa juu ya miimo na vizingiti vya kila nyumba watakamokulia nyama wale.


inaita kwenye masanganjia, inaita kwenye milango ya muji:


Heri mutu anayetambua hekima, mutu yule anayepata ufahamu.


Hekima ni muti wa uzima kwa wote wanaoipata; wana heri wote wanaoshikamana nayo.


“Basi kila mutu anayesikia hayo maneno yangu na kuyashika, anafananishwa na mutu mwenye akili aliyejenga nyumba yake juu ya jiwe.


Wote wawili walikuwa wenye haki mbele ya Mungu, walishika kwa ukamilifu amri na maagizo yote ya Bwana.


Marta alikuwa na dada yake mudogo aliyeitwa Maria. Huyo aliikaa mbele ya Bwana, akisikiliza mafundisho yake.


Lakini Yesu akajibu: “Heri zaidi wale wanaosikia neno la Mungu na kulitii!”


Nao walikuwa wakijitoa kufuata mafundisho ya mitume, kuishi katika ushirika wa kindugu, kumega mukate na kuomba.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ