3 Karibu na milango ya kuingilia katika muji, pahali wanapoingilia watu inaita kwa sauti:
Nilipokutana na wazee kwenye mulango wa muji na kutwaa nafasi yangu katika mukutano,
inaita kwenye masanganjia, inaita kwenye milango ya muji:
“Enyi watu wote, ninawaita ninyi! Wito wangu ni kwa ajili ya wanadamu.
Basi muende kwenye masanganjia, na watu wote mutakaowaona, muwaalike wafike kwa karamu.’
Yesu akamujibu: “Nilisema na watu wote waziwazi, nilifundisha siku zote katika nyumba za kuabudia na katika hekalu, pahali Wayuda wote wanapokutana. Sikusema kitu kwa uficho.
“Mwende ndani ya hekalu na mutangaze kwa watu maneno yote yanayoelekea uzima mupya.”