25 Nilizaliwa mbele milima na vilima havijaumbwa,
Yaliporomoka toka milima mpaka katika mabonde, mpaka pahali ulipoyatengenezea.
Mbele milima haijakuwa, mbele haujauumba ulimwengu, wewe ndiwe Mungu, milele na milele.
mbele Mungu hajaumba dunia na mashamba yake, wala chembe za kwanza za mavumbi ya dunia.
Vilevile Mungu alisema: “Wewe Bwana, kwa mwanzo uliumba dunia, mbingu ni kazi ya mikono yako.