Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 8:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Ninatembea katika njia ya haki; ninafuata sheria ya Mungu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 8:20
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

na kuirudishia nafsi yangu nguvu mupya. Ananiongoza katika njia sawa kwa utukufu wa jina lake.


Mungu anasema: “Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayofuata. Nitakushauria kwa uangalifu mukubwa.


Kwa hiyo utafuata mufano wa watu wazuri, na kufuata mienendo ya wenye haki.


Ukinisikiliza, utafahamu haki, usawa, na kufuata sheria ya Mungu; utafahamu kila njia nzuri.


Umutambue Mungu katika kila kitu unachofanya, naye atasawanisha njia zako.


Yatakuongoza katika njia yako, yatakulinda wakati unapolala, yatakushauria unapoamuka.


Matunda yangu ni mazuri kuliko zahabu safi, na faida yangu inashinda ya feza bora.


Ninawatajirisha wale wanaonipenda, ninajaza tele hazina za wanaonipenda.


watu wengi wataenda kule na kusema, Mukuje tupandie kwenye mulima wa Yawe, tuende kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo, apate kutufundisha njia zake, nasi tutafuata mapito yake. Maana sheria itakuja kutoka Sayuni; neno la Yawe kutoka Yerusalema.


Hawatasikia tena njaa wala kuwa na kiu. Upepo wenye kuunguza wala jua havitawachoma, mimi niliyewahurumia nitawaongoza na kuwapeleka kwenye chemichemi za maji.


Mimi nilimufanya kuwa mukubwa na mutawala wa mataifa kusudi yeye anishuhudie kwa watu wa mataifa.


Zamu anamufungulia mulango na kondoo wanasikia sauti yake. Naye anawaita kondoo wake kila mumoja kwa jina lake na kuwapeleka inje.


“Ninyi mukuwe waangalifu mufanye kama vile Yawe alivyowaamuru. Mutimize kila kitu sawasawa.


Kwa maana Mwana-Kondoo anayekuwa katikati ya kiti cha kifalme, atawachunga na kuwaongoza kwenye chemichemi ya maji ya uzima. Naye Mungu atawapanguza machozi yao yote.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ