16 Kwa musaada wangu viongozi wanaongoza na wakubwa wanaamua.
Kwa musaada wangu watawala wanatawala na wakubwa wanaagiza kwa haki.
Ninawapenda wale wanaonipenda; wanaonitafuta kwa bidii wananipata.
Umetimiza yale uliyosema utatutendea sisi pamoja na watawala wetu kwa kuuazibu Yerusalema vikali zaidi ya muji mwingine wowote katika dunia.