Huyo alikuwa mwana wa mujane wa kabila la Nafutali, na baba yake alikuwa mukaaji wa Tiro, mufua-shaba. Hiramu alikuwa na hekima nyingi na akili, fundi kabisa wa kazi yoyote ya shaba. Basi, alikuja kwa mufalme Solomono, akamufanyia kazi yake yote.
Lakini sasa, kwa njia ya kanisa, watawala na wote wenye uwezo wanaokuwa katika eneo la mbingu wapate kutambua hekima ya Mungu inayokuwa ya namna nyingi.