Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 8:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mimi Hekima nina ujuzi; nina maarifa na akili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 8:12
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Huyo alikuwa mwana wa mujane wa kabila la Nafutali, na baba yake alikuwa mukaaji wa Tiro, mufua-shaba. Hiramu alikuwa na hekima nyingi na akili, fundi kabisa wa kazi yoyote ya shaba. Basi, alikuja kwa mufalme Solomono, akamufanyia kazi yake yote.


Alimupatia mufano wa yote aliyokusudia ndani ya moyo juu ya viwanja vya nyumba ya Yawe, vyumba vya Mungu na gala za kuwekea vitu vitakatifu.


Hayo yote, mufalme Daudi aliyaweka wazi kwa maandiko aliyopewa na Yawe. Kazi yote itendeke kulingana na mufano ule.


Watu wa Yuda walipoangalia nyuma, walishituka kuona wamezungukwa; basi wakamulilia Yawe, nao makuhani wakapiga baragumu zao.


Ee Yawe, matendo yako ni mengi sana! Umeyafanya kwa hekima yote! Dunia imejaa viumbe vyako!


Musa akawaambia Waisraeli: Muangalie! Yawe amemuchagua Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, wa kabila la Yuda.


Zitawaerevusha wajinga, zitawapa vijana maarifa na akili.


Enyi wajinga, mujifunze kuwa na akili; musikilize kwa uangalifu, enyi wapumbafu.


Mutu huyo anajua kufanya vile, kwa sababu Mungu wake anamufundisha.


Utajiri wa Mungu, hekima na ufahamu wake ni vikubwa kupita kipimo! Hakuna anayeweza kuvumbua kusudi lake wala kuelewa mipango yake!


Mungu amefanya kila kitu kufuatana na kusudi na mapenzi yake. Yeye ametuchagua kwa njia ya kuungana kwetu na Kristo, kusudi tukuwe watu wake.


Lakini sasa, kwa njia ya kanisa, watawala na wote wenye uwezo wanaokuwa katika eneo la mbingu wapate kutambua hekima ya Mungu inayokuwa ya namna nyingi.


kwa maana hazina zote za hekima na elimu zimefichwa ndani yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ