9 Ilikuwa karibu wakati wa magaribi, giza na usiku vilikuwa vimeanza kuingia.
Siku moja, Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi yake kama kawaida, na watumishi wengine hawakukuwa ndani ya nyumba.
Mutamuweka nyama yule mpaka siku ya kumi na ine ya mwezi huu. Siku hiyo, Waisraeli watawachinja nyama wale wakati wa magaribi.
Kijana akakutana na yule mwanamuke; alivaa kama kahaba, mwenye ukorofi.
Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.