8 Huyo alikuwa akitembea kwenye barabara ile, karibu na pahali mwanamuke mumoja alipoishi. Basi akashika njia inayokwenda kwa mwanamuke yule.
Uepushe njia yako mbali naye, wala usiukaribie mulango wa nyumba yake,
mara katika barabara, mara katika soko, pembeni ya njia hakosekani akivizia.
Nyumba yake ni njia ya kwenda kuzimu, ni pahali pa kuteremukia katika mauti.
Muepuke uzinzi! Zambi ingine yoyote mutu anayofanya haigusi mwili wake, lakini yule anayefanya uzinzi anafanya zambi juu ya mwili wake mwenyewe.
Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.
muwaokoe, mukiwaopoa toka katika moto. Muwasikilie vilevile wengine huruma, lakini kwa woga, mukichukia hata nguo zao zilizochafuliwa na tamaa zao mbaya.
Siku moja Samusoni akakwenda katika muji wa Gaza, akakutana na kahaba mumoja akalala naye.