Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 7:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Hakutambua kwamba maisha yake yako katika hatari, mpaka alipojikuta amekuwa kama amechomwa mushale ndani ya moyo, amekuwa kama ndege aliyerukia ndani ya wavu.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 7:23
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mutego unaotegwa na ndege akiona, mutego ule unategwa bure.


Mutu anapoteza kipande cha mukate kwa kahaba, lakini mwanamuke muzinzi atapoteza uzima wako wote.


Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.


Naye akamufuata yule mwanamuke moja kwa moja, kama ngombe anayekwenda kuchinjwa, kama mupambafu anayefungwa na kwenda kuazibiwa.


Lakini mujinga hajui kwamba mule muna wafu, wageni wa mwanamuke yule wako chini katika kuzimu.


Jambo moja nililotambua linalokuwa baya zaidi kuliko kifo, ni mwanamuke ambaye moyo wake ni mutego na wavu, na mikono yake ni kama minyororo. Lakini anayemupendeza Mungu anamwepuka mwanamuke yule, lakini mwenye zambi ananaswa naye.


Mutu hajui saa yake itafika wakati gani. Kama vile samaki wanavyonaswa katika wavu kwa bahati mbaya, na kama vile ndege wanavyonaswa katika mutego kwa rafla, ndivyo wanadamu wanavyonaswa na hasara inapowaangukia bila kutazamia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ