19 Mume wangu hayuko ndani ya nyumba, amekwenda safari ya mbali.
Kuja! Tufanye mapenzi mpaka asubui; kuja tujifurahishe kwa mapenzi.
Amepeleka mufuko wa feza, hatarudi mbele ya mwandamo wa mwezi.”
Ulikuwa kama muke muzinzi anayekaribisha wageni pahali pa mume wake.
Watu wale walipopokea mushahara ule, wakamunungunikia mwenye shamba.
Munajua vema kwamba mwenye nyumba angalijua wakati gani mwizi atakapokuja kuiba, angalikesha na kuchunga nyumba yake isibomolewe.
Lakini kama mutumishi yule ni mutu mubaya, atajisemesha yeye mwenyewe kwamba bwana wake anakawia,
Munajua vema kwamba mwenye nyumba angejua saa gani mwizi atakapokuja kumwiba, asingeacha nyumba yake ibomolewe.