18 Kuja! Tufanye mapenzi mpaka asubui; kuja tujifurahishe kwa mapenzi.
Usizini.
Nimekinyuzia marasi, manemane, udi na mudalasini.
Mume wangu hayuko ndani ya nyumba, amekwenda safari ya mbali.
“Maji yaliyoibwa ni matamu sana; mukate unaokuliwa kwa siri ni muzuri sana.”
akilala na mutu mwingine bila mume wake au mutu mwingine yeyote kujua; amejichafua ingawa hakuna mutu aliyeshuhudia kitendo chake kwa sababu hakukamatwa.