17 Nimekinyuzia marasi, manemane, udi na mudalasini.
Unapenda haki na kuchukia uovu. Kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupendelea kuliko wenzako; amekuweka kuwa mufalme kwa kukupakaa mafuta ya kufurahisha.
Nguo zako zinanuka marasi, udi, na mudalasini; muziki wa vinubi unakufurahisha katika nyumba ya pembe za tembo.
Utatwaa viungo bora kabisa kama hivi: manemane ya maji kilo sita, mudalasini wenye harufu nzuri kilo tatu, miwa yenye harufu nzuri kilo tatu,
Kuja! Tufanye mapenzi mpaka asubui; kuja tujifurahishe kwa mapenzi.
Ni kitu gani kile kinachotoka katika jangwa kama munara wa moshi, kinachotoa harufu ya manemane na ubani, manukato yanayouzishwa na wachuuzi?
Wedani na Yavani walisafirisha vitu vyako toka muji wa Uzali; hata chuma kilichofuliwa, mudalasini na muchaichai kwa kununua vitu kwako.
Naye Nikodemo, yule aliyemwendea Yesu siku moja usiku, alikuja vilevile. Alikuwa akileta yapata kilo makumi tatu ya marasi yaliyochangwa na udi.