15 Ndio maana nimetoka kwa kukupokea, nimekutafuta kwa hamu nikakupata.
Basi, nyuma ya muda fulani, muke wa Potifari akamutamani Yosefu na kumwambia: “Lala na mimi”.
“Ilinipasa kutoa sadaka zangu; leo hii nimekamilisha naziri yangu.
Nimetandika kitanda changu vizuri, kwa blanketi za rangi za kitani kutoka Misri.