8 lakini anajiwekea chakula wakati wa kipwa, anajikusanyia akiba wakati wa mavuno.
Mwenye akili anakusanya wakati wa mavuno. Kulala wakati wa kuvuna ni haya.
watakupa maziwa ya kukutoshelea na jamaa yako, na kwa ajili ya wajakazi wako.
siafu ni wadudu wasiokuwa na nguvu, lakini wanajiwekea chakula wakati wa kipwa;
Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?
Kwa njia hii, watajiwekea akiba nzuri na yenye kudumu kwa ajili ya siku zitakazokuja kusudi wapate uzima wa kweli.