Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 6:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Usiache macho yako yapate usingizi, wala kope za macho yako zisinzie.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 6:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

sitakubali kulala usingizi, wala kusinzia,


Ninasema hivi: “Heri ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningeruka mbali na kupata pumziko,


ujue kwamba uko chini ya mamlaka ya mwenzako, lakini mwana wangu, ukitaka kujiokoa, basi fanya hivi: umwendee mutu yule mara moja, umusihi akupe uhuru wako.


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


kwa sababu malaika wa Bwana alishuka mara kwa mara ndani ya kile kisima na kutikisa maji. Na mugonjwa wa kwanza aliyeingia ndani ya maji kisha kuyatikisa, alipona ugonjwa wowote aliokuwa nao.]


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ