Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 6:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Maana wivu wa mume unamufanya kuwa mukali kabisa; wakati atakapolipiza kisasi hana kitu cha kuhurumia.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 6:34
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi, bwana wa Yosefu aliposikia maneno ya muke wake, kwamba ndivyo mutumishi wake alivyomutendea, akawaka hasira.


Mwanamuke yule akapata mimba, naye akatuma habari kwa Daudi kwamba yuko na mimba yake.


Utajiri haufai kitu siku ya kasirani, lakini haki inaokoa kutoka kifo.


Kasirani ni kali na hasira inaangamiza; lakini ni nani anayeweza kupingana na wivu?


Atapata vidonda na mazarau; haya atakayopata haitatoka juu yake.


Hatakubali malipo yoyote; wala kutulizwa na zawadi zako nyingi.


Unipige kama muhuri ndani ya moyo wako, kama muhuri katika mikono yako. Maana mapendo yana nguvu kama kifo, nao wivu ni mukali kama kaburi. Kuwaka kwake ni kama kuwaka kwa moto, unawaka kama ulimi wa moto.


Ninawachochea Wamedi juu yao; watu ambao hawajali feza wala hawavutwi na zahabu.


Finehasi mwana wa Eleazari, mujukuu wa kuhani Haruni, ameizuia hasira yangu juu ya Waisraeli; kati yenu ni yeye tu aliyeona wivu kama ule ninaokuwa nao mimi. Ndiyo maana sikuwaangamiza Waisraeli wote kwa hasira yangu.


Lakini, mume wake akiingiwa na shaka na kuwa na wivu juu ya muke wake aliyejichafua; au kama amekuwa na wivu juu ya muke wake ingawa muke wake hakujichafua,


Au tunataka kumuchokoza Bwana hata asikie wivu? Munafikiri kuwa sisi tuko na nguvu kuliko yeye?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ