32 Anayezini hana akili kabisa; anajiangamiza yeye mwenyewe.
Kisha akamwambia Yosefu: “Kwa sababu Mungu amekufunulia haya yote, hakuna mutu mwingine mwenye akili na hekima kama wewe.
Usizini.
Katika kinywa cha mwenye ufahamu kuna hekima, lakini wasiokuwa na akili watapigwa fimbo katika mugongo.
Maneno ya mwenye haki yanawafalia watu wengi, lakini wapumbafu wanakufa kwa kukosa akili.
Anayemuzarau jirani yake hana akili; mutu mwenye ufahamu anakaa kimya.
Mulimaji mwenye bidii ana chakula tele, lakini anayefuata mambo yasiyofaa hana akili.
ukitega sikio lako kwa kusikiliza hekima, na kuelekeza moyo wako upate ufahamu,
Nilipitia karibu na shamba la muvivu, ni kusema shamba la mizabibu la mutu mupumbafu,
Atapata vidonda na mazarau; haya atakayopata haitatoka juu yake.
nikawaona vijana wengi wajinga, na hasa mumoja aliyekuwa mupumbafu.
Asiyenipata anajizuru mwenyewe; wote wanaonichukia wanapenda kifo.”
“Yeyote anayekuwa mujinga akuje hapa!” Na yeyote anayekuwa mupumbafu unamwambia:
Musikilize, enyi wajinga na wapumbafu: ninyi munaokuwa na macho, lakini hamwoni, munaokuwa na masikio, lakini hamusikii.
Walikuwa kama farasi dume wanono wenye tamaa, kila mumoja anamutamani muke wa jirani yake.
Mutupilie mbali zambi mulizonitendea; mujipatie moyo na roho mupya. Enyi Waisraeli, mutakufa kwa sababu gani?
Nitawaangamiza, enyi Waisraeli. Nani ataweza kuwasaidia?
Ndoa inapaswa kuheshimiwa na watu wote, mume na muke wake wanapaswa kujikinga na uchafu, kwa sababu Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.