20 Mwana wangu, shika amri za baba yako, wala usisahau mashauri ya mama yako;
Umusikilize baba yako aliyekuzaa, wala usimuzarau mama yako akizeeka.
Kuna watu ambao wanalaani baba zao, wala hawana shukrani kwa mama zao.
Mwana wangu, sikia hekima yangu, tega sikio usikie elimu yangu.
Miguu yake inaelekea chini kwenye kifo, hatua zake zinaenda kuzimu.
nikawaona vijana wengi wajinga, na hasa mumoja aliyekuwa mupumbafu.
Sisi tumeitii amri hiyo ya babu yetu Yonadabu mwana wa Rekabu siku zote, juu ya jambo alilotuamuru. Sisi hatukunywi divai hata kidogo; sisi wenyewe hatukunywi, wala wake zetu, wala watoto wetu wanaume au wanawake.
Ninyi watoto muwatii wazazi wenu mbele ya Bwana, kwa maana vile ndivyo inavyostahili.
“Kama mutu ana mutoto mwenye kiburi na mwasi, asiyemutii baba yake au mama yake ingawa wanamwazibu,
“ ‘Alaaniwe mutu yeyote anayezarau baba yake au mama yake.’ Na watu wote wataitika: ‘Amina!’