Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 6:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 moyo unaopanga mipango miovu, miguu inayokuwa mbio kutenda maovu,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 6:18
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe alipoona uwingi wa uovu wa watu katika dunia, na kwamba kila kitu mwanadamu anachokusudia ndani ya moyo wake ni kiovu siku zote,


Kila anachosema ni uovu na uongo; ameacha kutumia hekima na kutenda mema.


Maana wao wako mbio kutenda maovu, haraka zao zote ni za kumwanga damu.


Mawazo ya mwovu ni chukizo kwa Yawe, lakini maneno mema yanamufurahisha.


maana mafikiri yao yote ni juu ya kutesa tu, nayo midomo yao inasema mabaya.


Anayefikiria kutenda maovu siku zote, ataitwa mutu mwenye fitina.


Muko mbio kutenda maovu, muko wepesi kumwanga damu isiyokuwa na kosa. Mawazo yenu ni mawazo ya uovu, popote munapokwenda munaacha ukiwa na uharibifu.


Wewe Yerusalema, usafishe maovu ya moyo wako, kusudi upate kuokolewa. Mpaka wakati gani utaendelea kuchunga maovu?


Ole wao wanaopanga kutenda maovu, wanaolala usiku wakikusudia mabaya! Mara tu kunapopambazuka, wanayatimiza maana wako na uwezo.


Mutu yeyote asikusudie kumutendea mwenzake ubaya wala musiape uongo, maana ninayachukia sana matendo hayo. Ni mimi Yawe ninayesema hivyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ