Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 6:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Wakati ule umasikini utakushambulia kama munyanganyi, ukosefu utakufuata kama mwizi mwenye silaha.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 6:11
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uvivu unasababisha umasikini, lakini mukono wa mutu wa bidii unajitajirisha.


Muvivu anatamani lakini hapati kitu chochote, wakati mwenye bidii anajaliwa kwa wingi.


Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.


Muvivu halimi wakati wa kulima; wakati wa mavuno atatafuta lakini hatapata kitu.


maana walevi na walafi wataishia kuwa wamasikini. Usingizi utawavalisha nguo za kupasukapasuka.


Lala tu kidogo, sinzia tu kidogo, kunja mikono yako tu upumzike,


lakini kumbuka kwamba unapokuwa katika usingizi, umasikini utakufikia kama munyanganyi, ukosefu kama mutu mwenye silaha.


Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ