10 Unasema: “Acha nilale kidogo tu, acha nisinzie kidogo! Uniache nikunje mikono nipumzike kidogo!”
Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.
Usipende usingizi usikuje kuwa masikini; ukuwe macho nawe utakuwa na chakula kingi.
maana walevi na walafi wataishia kuwa wamasikini. Usingizi utawavalisha nguo za kupasukapasuka.
Ewe muvivu! Kwenda kuchunguza siafu, fikiri juu ya namna yake ya kuishi upate hekima.
Ewe muvivu, utalala pale mpaka wakati gani? Utaamuka wakati gani katika usingizi wako?
Mupumbafu hafanyi kazi na mwisho anajiua na njaa.