1 Mwana wangu, kama umejitolea kubeba deni ya mwenzako, ikiwa umetoa ahadi yako kwa ajili ya mutu yule,
Mimi mwenyewe nitakuwa rehani kwake. Wewe utanidai mimi. Nisipomurudisha umwone kwa macho yako mwenyewe, kosa likuwe juu yangu milele.
Ee Mungu, ujitoe mwenyewe kuwa rehani kwa ajili yangu maana hakuna mwingine wa kujitoa kwa ajili yangu.
Anayejitoa kulipia mugeni deni yake atajuta, lakini anayechukia mapatano yale ana usalama.
Mutu asiyekuwa na akili anajitoa rehani kwa deni ya mutu mwingine.
Mutu akiahidi kumukopesha mutu asiyejulikana, unyanganye nguo yake kuwa rehani.
Usikuwe mumoja wa wale ambao wanajitoa rehani kwa madeni ya wengine.
Mutu akiahidi mbele yako kubeba muzigo wa mutu mwingine, unyanganye nguo yake; utwae rehani kwake maana amebeba muzigo wa mutu mwingine.
ikiwa umejifunga kwa maneno yako mwenyewe, utajinasa kwa ahadi uliyofanya;
Sasa, ee Mungu, umewatupa watu wako, wazao wa Yakobo. Maana kweli wachawi kutoka mashariki wamejaa kati yao; kuna waaguzi kama vile kwa Wafilistini. Wanashirikiana na watu wageni.
Kwa sababu ya kiapo hiki, Yesu amekuwa kihakikisho kwetu cha agano linalokuwa zuri zaidi.