Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 5:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Yeye anakufa kwa ajili ya ukosefu wa mafundisho, anaangamia kwa sababu ya upumbafu wake mukubwa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 5:23
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini wasipomutii, wanaangamia kwa upanga, na kufa kwa kukosa akili.


Kama uzi unaoshikilia uzima wao ukikatwa, wao wanakufa, tena bila kuwa na hekima”.


“Lakini watu wangu hawakunisikiliza; Israeli hakunitaka kabisa.


Atawarudishia uovu wao wenyewe, atawateketeza kwa sababu ya ubaya wao. Yawe, Mungu wetu, atawateketeza kabisa!


Basi, mutakula matunda ya mienendo yenu, mutageukiwa na mashauri yenu wenyewe.


Maneno ya mwenye haki yanawafalia watu wengi, lakini wapumbafu wanakufa kwa kukosa akili.


Mutu anasifiwa kadiri ya hekima yake, lakini mwenye moyo wa mafikiri mabaya anazaruliwa.


Mutu mupotovu atavuna matunda ya mwenendo wake, naye mutu muzuri atapata malipo ya matendo yake.


Mwovu anaangamizwa kwa matendo yake maovu, lakini mwenye haki atapata usalama kwa uaminifu wake.


Anayetangatanga mbali na njia ya ufahamu, atajikuta ametua kati ya wafu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ