Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Mezali 5:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Ni muzuri kama pongo, anapendeza kama paa. Mapenzi yake yakufurahishe kila wakati, uvutwe siku zote na mapendo yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Mezali 5:19
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja, yule tajiri alifikiwa na mugeni. Basi, tajiri yule hakutaka kukamata kondoo mumoja kati ya kondoo wake mwenyewe au ngombe wake, amuchinjie mugeni wake, lakini alikwenda na kumunyanganya yule masikini mwana-kondoo wake, akamuchinjia mugeni wake.”


Kunywa maji ya birika lako mwenyewe, maji yanayobubujika katika kisima chako mwenyewe.


Mwana wangu, kwa nini kutekwa na mwanamuke mwasherati? Kwa nini kukumbatia mwanamuke mugeni katika kifua?


Mpaka pale jua linapochomoza na vivuli kutoweka, rudi kama paa, mupenzi wangu, kama swala mudogo juu ya milima ya Beteri.


Mupenzi wangu ni kama paa, ni kama swala muchanga. Anasimama karibu na ukuta wetu, anachungulia kwenye dirisha, anaangalia kwenye wavu.


Maziba yako ni kama paa mapacha, ambao wanachungwa penye yungiyungi.


Kitofu chako ni kama bakuli lisilokosa divai iliyokolezwa. Tumbo lako ni kama lundo la ngano lililozungushiwa mayungiyungi pembeni.


Kuja mbio, ewe mupenzi wangu, kama paa au kitoto cha pongo juu ya milima ya marasi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ