Furahia maisha pamoja na muke wako unayemupenda muda wote wa maisha yako ya bure ambayo Mungu amekujalia hapa chini ya jua, maana hilo ndilo ulilopangiwa katika maisha, katika kutoa jasho yako hapa chini ya jua.
“Mwanaume aliyetoka kuoa asiende kwa vita wala asipewe kazi yoyote ingine; aachwe huru kwa muda wa mwaka mumoja, kusudi akae kwake na kufurahi na muke wake.