13 Sikusikiliza sauti ya walimu wangu, wala kuwategea sikio wale walionifundisha.
akafuata shauri la vijana wenzake, akawaambia: “Baba yangu aliwabebesha muzigo muzito, lakini mimi nitaufanya kuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.”
Mwana wangu, sikiliza mafundisho ya baba yako, wala usizarau mashauri ya mama yako;
Nikakuwa karibu ya kuangamia kabisa katika kusanyiko na mukutano wa watu.”
Basi nitaondoka huku na kurudia kwa baba yangu nami nitamwambia: baba, nimemukosea Mungu na nimekukosea wewe vilevile.
Basi kwa hiyo, yeye anayekataa mafundisho haya hamukatai mutu, lakini anamukataa Mungu anayewapa ninyi Roho wake Mutakatifu.
Muwakumbuke waongozi wenu waliowatangazia neno la Mungu. Muangalie vizuri namna walivyoishi na kufa. Mufuate imani yao.